Latest Post
Showing posts with label VICHEKESHO. Show all posts
Showing posts with label VICHEKESHO. Show all posts

PICHA KALI ZA MATUKIO YANAYOJIRI KWENYE MITAA MBALIMBALI !

Written By Unknown on Saturday, July 6, 2013 | 01:28








ngekuwa wewe Ungefanyaje ?? Balaa Hili

Mdada mmoja mke wa mtu alikuwa akisumbuliwa sana na jamaa mmoja aliyekuwa akimtaka kila siku, hatimae akamwambia mumewe. Mume akamwambia mkewe, we kubali tuu, ila mwambie aje mlale hapa kwetu, mi ntajificha uvunguni na panga. Akisha ingia ukiona kamaliza kuvua nguo we ning’iniza mkono anza kuuchezesha, mi nikiuona ntatoka uvunguni na kumfunza adabu. Mdada akafuata masharti ya mumewe na hatimae wakaingia chumbani na yule bwana , mumewe akiwa tayari na panga uvunguni mwa kitanda. Jamaa alipovua shati, mke alishangaa kuona ana makovu makubwa kifuani na mgongoni; MKE: Heee mbona una makovu hivyo?? JAMAA: Niwe mkweli tuu, kwako dia!! mie nina tatizo sana la kupenda wake za watu, waume wengi wamekuwa wakipanga kunifumania, nilishafumaniwa mara kumi na tisa, na wote walionifumania niliwaua. Ila jaribio la mwisho nilidakwa na mapolisi nikatumikia kifungo cha miaka 27 jela, Lakini ninavyopenda wake za watu sitaacha kuua. Hivi sina muda tangu nitoke huko jela hivyo nina ukame wa punda na nilipokuona moyo wangu ukakudondokea. Na nitatulia na wewe. MKE: Heee! Haiwezekani jamani!!….jamaa akaendelea kuvua nguo alipomaliza mdada akaanza kujitahidi kuning’iniza mkono ili mumewe atoke uvunguni aje kumuokoa, mume akabana kimya, kila mdada akijitihadi kupunga mkono hakupata jibu, mdada akalalamika mpaka jamaa akamaliza shughuli zake akatokomea. MKE: Huku akilia, ndio nini umenifanyia? Mbona hukutoka?? MUME: We we we, Weeeee mama naniii!!.. mwenyewe umesikia keshaua 19 ulitaka niwe wa ishirini?

PASTOR NA MAHUBIRI MARA MAMA MMOJA KAANZA KULIA.

Pastor mmoja alikuwa akihubiri kanisani, mara akamuona
mama mmoja akilia kwa uchungu sana.
Pastor akajua yule  mama amechomwa na mahubiriyake, akazidi kuongeza dozi yamaneno.
Baada ya mahubiri pastor akamuita yule mama na kumuuliza nini kinacho kuhuzunisha.
Huku akiendelea kulia akasema,"Yaani mchungaji kilanikiona hizo ndevu zako namkumbuka mbuzi wangu beberu aliyeibiwa...na pata uchungu mno mpaka naishia kulia."

HAYA NDIO MAPENZI YA SIKU HIZI. DUUH !!


JAMAA:"I love you swty."
DEM:"I love you too...ila tupendane tu,mambo ya ngono sitaki namtunzia mume atakaenioa."
JAMAA:"Hilo si tatizo,na mimi mambo ya kuniomba pesa sitaki namtunzia mke nitakaemuoa!"

CHEKA NA WEWE

TOTO:"Sababu sina akili."
BABA:"Ooh,sasa ngoja nikupige fimbo za kutosha ili
uwe na akili mshenzi
wewe!"
MTOTO:"Ingekuwa fimbo ndio
humfunza mtu kuwa na akili,basi punda
na farasi wangekuwa MAPROFESA."





2. Watoto wawili walirudi kwao na
majibu ya mtihani wa mwisho wa
muhula;
BABA:"Safi sana naona umepata
A katika masomo yako yote." Diana unataka zawadi gani?
DIANA:"Nataka kwenda kusoma AUSTRALIA."
BABA:"Na wewe Tina naona
umepata E masomo yote! Ndo
nini hii?"
TINA:"Nataka kwenda kusoma
England!"






 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. harod tz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger